Kurasa

HARAKATI ZA MARAFIKI WA ELIMU NI NINI?

HARAKATI ZA MARAFIKI WA ELIMU NI NINI?
Ni harakati za watu wanaojali na wenye nia ya kuleta mabadiliko katika kuboresha elimu na demokrasia nchini. Harakati hizi zinawaleta pamoja wananchi wanaopenda maendeleo ya elimu na zinawapa fursa ya kubadilishana mawazo na uzoefu katika masuala yanayohusu elimu .Sera na mipango mbalimbali ikiwemo mpango wa maendeleo ya elimu ya msingi (MMEM) na mpango wa maendeleo ya elimu ya sekondari (MMES) inasisitiza ushiriki wa wananchi katika utekelezaji wake.Hivyo wananchi wote wanawajibu wa kuchangia uboreshaji wa elimu na demokrasia nchini. kujiunga na harakati hizi za marafiki wa elimu ni bure na hakuna malipo yoyote wasiliana nasi kwa namba 0755 65 00 75 au 0786 65 00 75 au e-mail jmrchrd@yahoo.com tukuunganishe na marafiki wa elimu popote ulipo Tanzania

Alhamisi, 13 Novemba 2014

habari picha marafiki wa elimu wakihamasisha jamii juu ya ujenzi wa maktaba

bi.perus akigawa machapisho kwa wanafunzi

bi pesus akigawa machapisho



wananchi wakimsikiliza rafiki wa elimu bi. perus

wananchi wakimsikiliza bi. perus akihamasisha ujenzi wa maktaba


mmoja wa wananchi ambae ni mwalimu akitoa maoni


wananchi wakimsikiliza Juma richard aonekani pichani
picha mbalimbali zikiwaonyesha marafiki wa elimu wakihamasisha jamii katika uchangiaji wa maktaba ya jamii anae onekana pichani ni rafiki wa elimu Bi. perus masokomya akihamasisha jamii juu ya ujenzi wa maktaba ya jamii wananchi pia wameonyesha nia ya kuchangia na wako tayari kwa ajili ya ujenzi huo

picha matukio na Juma richard