Kurasa

HARAKATI ZA MARAFIKI WA ELIMU NI NINI?

HARAKATI ZA MARAFIKI WA ELIMU NI NINI?
Ni harakati za watu wanaojali na wenye nia ya kuleta mabadiliko katika kuboresha elimu na demokrasia nchini. Harakati hizi zinawaleta pamoja wananchi wanaopenda maendeleo ya elimu na zinawapa fursa ya kubadilishana mawazo na uzoefu katika masuala yanayohusu elimu .Sera na mipango mbalimbali ikiwemo mpango wa maendeleo ya elimu ya msingi (MMEM) na mpango wa maendeleo ya elimu ya sekondari (MMES) inasisitiza ushiriki wa wananchi katika utekelezaji wake.Hivyo wananchi wote wanawajibu wa kuchangia uboreshaji wa elimu na demokrasia nchini. kujiunga na harakati hizi za marafiki wa elimu ni bure na hakuna malipo yoyote wasiliana nasi kwa namba 0755 65 00 75 au 0786 65 00 75 au e-mail jmrchrd@yahoo.com tukuunganishe na marafiki wa elimu popote ulipo Tanzania

Ijumaa, 1 Mei 2015

Marafiki wa elimu Kahama wajengewa uwezo

Marafiki wa elimu Kahama ni moja kati ya wilaya zilizoanza  kuinua upya ari ya marafiki wawilaya hiyo kujali elimu ,hivi karinubuni shirika la HAKI ELIMU liliandaa mpango maalumwa kuhamasisha harakati katika wilaya hiyo jambo lililoonyesha kupokelewa vyema na marafiki wa elimu wa wilaya hiyo na kupelekea ongezeko la marafiki wapya wa elimu.   picha zinaonyesha baadhi ya  matukio katika kongamano hilo

Joyce Mkina akizungumza na marafiki wa elimu Kahama


M