Kurasa

HARAKATI ZA MARAFIKI WA ELIMU NI NINI?

HARAKATI ZA MARAFIKI WA ELIMU NI NINI?
Ni harakati za watu wanaojali na wenye nia ya kuleta mabadiliko katika kuboresha elimu na demokrasia nchini. Harakati hizi zinawaleta pamoja wananchi wanaopenda maendeleo ya elimu na zinawapa fursa ya kubadilishana mawazo na uzoefu katika masuala yanayohusu elimu .Sera na mipango mbalimbali ikiwemo mpango wa maendeleo ya elimu ya msingi (MMEM) na mpango wa maendeleo ya elimu ya sekondari (MMES) inasisitiza ushiriki wa wananchi katika utekelezaji wake.Hivyo wananchi wote wanawajibu wa kuchangia uboreshaji wa elimu na demokrasia nchini. kujiunga na harakati hizi za marafiki wa elimu ni bure na hakuna malipo yoyote wasiliana nasi kwa namba 0755 65 00 75 au 0786 65 00 75 au e-mail jmrchrd@yahoo.com tukuunganishe na marafiki wa elimu popote ulipo Tanzania

Jumatatu, 15 Aprili 2013

Dennis Ngadaya rafiki wa elimu mwanasiasa toka Nyampulukano Sengerema

Dennis Ngadaya rafiki wa elimu toka Sengerema
Huyu ni mmoja wa marafiki wa elimu wa siku nyingi alojikita katika siasa ni miongoni mwa wagombea udiwani kata ya NYAMPULUKANO  huko SENGEREMA  mara nyingi anaamini kuwa anauwezo wa kuitumikia jamii kwa upande wa siasa

harakati za marafiki wa elimu ni harakati za watu wote viongozi wa siasa wasio wanasiasa wanaojua kusoma na wasiojua kusoma walio ndani ya shule na wasio ndani ya shule kwa pamoja TUNAINUA SAUTI ZA WANYONGE