Kurasa

HARAKATI ZA MARAFIKI WA ELIMU NI NINI?

HARAKATI ZA MARAFIKI WA ELIMU NI NINI?
Ni harakati za watu wanaojali na wenye nia ya kuleta mabadiliko katika kuboresha elimu na demokrasia nchini. Harakati hizi zinawaleta pamoja wananchi wanaopenda maendeleo ya elimu na zinawapa fursa ya kubadilishana mawazo na uzoefu katika masuala yanayohusu elimu .Sera na mipango mbalimbali ikiwemo mpango wa maendeleo ya elimu ya msingi (MMEM) na mpango wa maendeleo ya elimu ya sekondari (MMES) inasisitiza ushiriki wa wananchi katika utekelezaji wake.Hivyo wananchi wote wanawajibu wa kuchangia uboreshaji wa elimu na demokrasia nchini. kujiunga na harakati hizi za marafiki wa elimu ni bure na hakuna malipo yoyote wasiliana nasi kwa namba 0755 65 00 75 au 0786 65 00 75 au e-mail jmrchrd@yahoo.com tukuunganishe na marafiki wa elimu popote ulipo Tanzania

Jumanne, 29 Desemba 2015

MATUKIO PICHA WAKATI SHULE YA MSINGI MWISENGE IKIPOKEA ZAWADI YA COMPUTER 5

wanafunzi wakisubiri kupokea computer toka shirika la EXPO

afisa elimu aliyekaa akijaribu computer hizo afisa huyu ni mtaalam wa tehama aliyesimama ni mkurugenzi wa shirika la EXPO TECNOLOGY bw.John

huyu ni kati ya mwanafunzi aliyefanya vizuri kwenye masomo ya tehema na kupelekea shule yake kushinda computer 5

afisa elimu akibadilishana mawazo na wafanyakazi wa Haki Elimu na walimu wa Mwisenge

picha ya pamoja walimu pamoja na wanafunzi waliofaulu masomo ya tehama