harakati za marafiki wa elimu musoma wasiliana nasi kwa namba +255755 650 075 au +255786 650 075 ni jukumu letu kuboresha elimu
HARAKATI ZA MARAFIKI WA ELIMU NI NINI?
Ni harakati za watu wanaojali na wenye nia ya kuleta mabadiliko katika kuboresha elimu na demokrasia nchini. Harakati hizi zinawaleta pamoja wananchi wanaopenda maendeleo ya elimu na zinawapa fursa ya kubadilishana mawazo na uzoefu katika masuala yanayohusu elimu .Sera na mipango mbalimbali ikiwemo mpango wa maendeleo ya elimu ya msingi (MMEM) na mpango wa maendeleo ya elimu ya sekondari (MMES) inasisitiza ushiriki wa wananchi katika utekelezaji wake.Hivyo wananchi wote wanawajibu wa kuchangia uboreshaji wa elimu na demokrasia nchini. kujiunga na harakati hizi za marafiki wa elimu ni bure na hakuna malipo yoyote wasiliana nasi kwa namba 0755 65 00 75 au 0786 65 00 75 au e-mail jmrchrd@yahoo.com tukuunganishe na marafiki wa elimu popote ulipo Tanzania
Ijumaa, 5 Aprili 2013
AZIMIO LA MUSOMA NA WAJIBU WA WALIMU
Tukiziendeleza hizo gharama tutapata taabu sana. watoto hawatasoma . itachukua muda mrefu sana kabla watoto hawajasoma.....ukimaliza elimu yako ya sekondari umemaliza elimu yako
Unakwenda ama kufanya kazi au unakwenda katika chuo kinachofundisha kazi .......kuna kipindi katika maisha yako cha kusoma halafu baadaye kuna kipindi cha kazi Haya mawazo si mazuri........''
mwl jk nyerere tarehe 8 februari 1975
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni