HARAKATI ZA MARAFIKI WA ELIMU MUSOMA NI HARAKATI HURU ZENYE LENGO LA KULETA USAWA , UBORA NA UPATIKANAJI WA ELIMU BORA KATIKA MKOA WA MARA NA TANZANIA KWA UJUMLA TUNAENDELEZA HARAKATI ZETU KATIKA MAENEO MBALIMBALI HAPA MUSOMA MJINI
KILA MMOJA WETU ANAWEZA KUWA RAFIKI WA ELIMU NA KUJUMUIKA NA MARAFIKI WENGINE NCHINI POTE
TUTAENDELEA KUFAHAMISHANA JUU YA HARAKATI ZETU NA NAMNA YA KUTUPATA KARIBUNI SANA KATIKA BLOG HII MPYA KABISA
harakati za marafiki wa elimu musoma wasiliana nasi kwa namba +255755 650 075 au +255786 650 075 ni jukumu letu kuboresha elimu
HARAKATI ZA MARAFIKI WA ELIMU NI NINI?
Ni harakati za watu wanaojali na wenye nia ya kuleta mabadiliko katika kuboresha elimu na demokrasia nchini. Harakati hizi zinawaleta pamoja wananchi wanaopenda maendeleo ya elimu na zinawapa fursa ya kubadilishana mawazo na uzoefu katika masuala yanayohusu elimu .Sera na mipango mbalimbali ikiwemo mpango wa maendeleo ya elimu ya msingi (MMEM) na mpango wa maendeleo ya elimu ya sekondari (MMES) inasisitiza ushiriki wa wananchi katika utekelezaji wake.Hivyo wananchi wote wanawajibu wa kuchangia uboreshaji wa elimu na demokrasia nchini. kujiunga na harakati hizi za marafiki wa elimu ni bure na hakuna malipo yoyote wasiliana nasi kwa namba 0755 65 00 75 au 0786 65 00 75 au e-mail jmrchrd@yahoo.com tukuunganishe na marafiki wa elimu popote ulipo Tanzania
Jumatatu, 25 Februari 2013
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni