Marafiki wa elimu musoma mapema siku ya jumamosi walikutana na kujadili changamoto zinazokabili elimu katika manispaa ya Musoma Mjini,

aidha marafiki hao wa elimu kwa pamoja waliaziamia kuanzisha mpango mahususi wa kutoa elimu kwa wanajamii, kwani imegundulika wazazi wengi wamekuwa chanzo cha mimba hizo kwa kuficha ukweli pindi watoto wao wapatapo ujauzito wakiwa shule.
.
picha matukio na, CIV Juma Okumu
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni