Kurasa

HARAKATI ZA MARAFIKI WA ELIMU NI NINI?

HARAKATI ZA MARAFIKI WA ELIMU NI NINI?
Ni harakati za watu wanaojali na wenye nia ya kuleta mabadiliko katika kuboresha elimu na demokrasia nchini. Harakati hizi zinawaleta pamoja wananchi wanaopenda maendeleo ya elimu na zinawapa fursa ya kubadilishana mawazo na uzoefu katika masuala yanayohusu elimu .Sera na mipango mbalimbali ikiwemo mpango wa maendeleo ya elimu ya msingi (MMEM) na mpango wa maendeleo ya elimu ya sekondari (MMES) inasisitiza ushiriki wa wananchi katika utekelezaji wake.Hivyo wananchi wote wanawajibu wa kuchangia uboreshaji wa elimu na demokrasia nchini. kujiunga na harakati hizi za marafiki wa elimu ni bure na hakuna malipo yoyote wasiliana nasi kwa namba 0755 65 00 75 au 0786 65 00 75 au e-mail jmrchrd@yahoo.com tukuunganishe na marafiki wa elimu popote ulipo Tanzania

Jumanne, 29 Julai 2014

Kwa wasiomfahamu mwalimu.

Mwalimu JK Nyerere

1. Ndiye rais aliyewahi kulipwa mshahara kidogo duniani
 
2.ndiye mtu aliyeitetea china isitengwe na UN, baada ya mataifa yote kuogopa vtisho vya marekani, wachina wanamtambua na kumheshimu sana

 
3. Ndiye rais pekee aliyetishia kuvunja balozi za uingereza, ujeruman na ufaransa na hata kukataa msaada wao kwa kitendo chao cha kuunga mkono serikali ya kibaguz afrika kusini

 
4. Ndiye rais aliyewezesha watoto wa masikin wasome bila ada na matibabu bure. Nenda nchi za kenya, afrika kusini . Kama baba yako hakushirik harakati za ukomboz ili utoke labda uwe jambaz maana huwez hata kujilipia ada


Ndiye rais pekee aliyechukia ufisadi toka moyoni.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni